Tuesday, January 1, 2013

ALICHOKISEMA NASH MCEE KUHUSIANA NA MECHI YA LEO YA TEMEKE KATA 14 JOGGING NA KOMBANIA YA HAJI HARAMBE

                          

Mwanaharakati wa kuendeleza matumizi ya lugha ya kiswahili nchini Tanzania na moja kati ya wasanii wa mitindo ya HIPHOP hapa nchini..,mwenemajina rukuki, kama vile Nash Mcee,Mpalestina,Mchebe..Kijana huyo mwenye maskani yake katika wilaya Temeke,ameibuka na kutoa maoni yake juu ya mechi iliyochezwa leo katika viwanja vya shule ya msingi Madenge ambayo mechi iyo ilikuwa inahusisha vijana wa Temeke Kata 14 na Kombania ya Haji Harambe... Nash Mcee ameeleza kwa jinsi ye alivyoiona mechi ambapo ameeleza kusikitishwa kwake kwa  mchezo walicheza vijana wa Temeke Kata 14 Jogging kua walikuwa wanacheza lafu sana kuliko mpira mzuri..Lakini vilevile akusita kuwapongeza Wachezaji wake wa Kombania ya Haji Harambe kuwa wamecheza vizuri hadi kupekelekea kushinda magoli matatu kwa moja.....

MATOKEO YA MECHI YA LEO KATI YA TEMEKE KATA 14 JOGGING NA KOMBANIA YA HAJI HARAMBE

TAARIFA YA MECHI KABAMBE KATI YA VIJANA WA TEMEKE KATA 14 NA KOMBANIA YA HAJI HARAMBE...

    TAARIFA KWA WAKAZI WA TMK.........
LEO JIONI TUKAKUWA NA MECHI YA KUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2013 KATI YETU NA KOMBANIA HAJI HARAMBE(VIJANA WA TEMEKE)......MECHI ITAANZA SAA 10 JIONI KATIKA VIWANJA VYA SHULE YA MSINGI MADENGE.......UNAKARIBISHWA SANAA UJE UONE TUTAKAVYO WAFUNGA HAWA VIJANA...
Hawo ni vija wa temeke kata 14 jogging ambao leo watakuwa na mechi na vijana wenzao wa Temeke ambao ni kombania ya pamoja.......ukiwa kama mdau wa soka katika wilaya temeke na vitongoji vyake unaomba kufika na kuangalia burudani kabambe itakayoletwa na vijana hawa.....mpira utaanza mapema kama ilivyolezwa hapo juu ....mungu ibariki Tanzania,mungu ibariki Temeke kata 14 Jogging ishinde leo....NAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA WASOMAJI WETU WA BLOG HII YA KIMICHEZO ZAIDI......SIKU NJEMA...