Friday, December 28, 2012

CHADEMA YAMTAKATA RAIS KIKWETE KUINGILIA KATI NA KUTOA TAMKO JUU YA MAANDAMANO YA MKOANI MTWARA

 
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimemtaka rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa tamko kuhusu swala la mradi wa kujenga bomba la gesi asilia kutoka mkoani Mtwara kuja jijini Dar es Salaam ili kuepusha sitofahamu na mandamano zaidi ya wananchi.

No comments:

Post a Comment