Saturday, December 29, 2012

DOVYA JOGGING WASHIRIKI VYEMA KATIKA BONANZA LILILOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA BIAFRA


 
Katika picha kulia aliyejishika kichwa ni katibu wa DOVYA JOGGING akiwa na vijana wake.....


Katika picha kulia ni Bi Rukia ambaye ni mmoja wa mwanajogging ya kunduchi.....na kushoto ni Bakari Itaka na wakatikati na Jabir,wakiwakilsha vyema katika bonanza lililofanyika katika viwanja vya biafra ambalo liliandaliwa na BIAFRA JOGGING.....Vijana wa dovya walifanya vyema katika bonanza ilo na kuacha gumzo katika umati mkubwa uliozulia katka bonanza ilo.....vijana hawa wanapatikana katika wilaya ya temeke,kata ya Makangalawe....

No comments:

Post a Comment